Habari za wakati huu
KUNA MABADILIKO KIDOGO NDANI YA APP YETU NAOMBA NITOE UFAFANUZI KIDOGO
Kwakuwa tunazidi kuwa wengi katika application yetu niombe kuwajulisha nimefanya maboresho kiasi ili burudani zinoge zaidi
Kama ulikuwa unatumia App hii ukashangaa SIMULIZI au VIDEO za KUCHEKESHA na FILAMU/TAMTHILIA haziji tena mpya kama kawaida basi jua unatakiwa kuboresha application yetu
Nimefanya mabadiliko ambayo yamelazimu wewe mtumiaji kuboresha application yako yaani kui UPDATE ili kuendana na mabadiliko
Hata sasa kama unasoma ujumbe huu huku hauoni filam mpya kutokea kwa ile ya Muzimu wa Mama | Ep 03, unatakiwa uboresha(UPDATE) sasa hivi ili uone filamu mpya
Hata sasa kama unasoma ujumbe huu huku hauoni filam mpya kutokea kwa ile ya Muzimu wa Mama | Ep 03, unatakiwa uboresha(UPDATE) sasa hivi ili uone filamu mpya
Haya mabadiliko rasmi yatatokea ambapo kwa wenye toleo la zamani hamtaweza kuona tena vitu vipya hata Simulizi
Wewe ambaye umeinstall/update app hii kutokea April 27 hili halikuathili endelea kupata burudani kama kawaida
NASHUKURU SANA KWA SAPOTI YENU NA MSIACHE KUNIPA NGUVU KWA KUYAGUSA MATANGAZO ANGALAU MARA 2-3 KUNISAIDIA NIPATE NGUVU YA KUWASOGEZEA BURUDANI ZAIDI
JIUNGE NA CHANNEL ZANGU KWA UPDATE NA BURUDANI ZAIDI
WhatsApp=> CnZ Media Channel
Telegram=> CnZ Media Channel